Yeremia 29:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 kwa maana wametenda kwa aibu katika Israeli,+ wakifanya uzinzi na wake za majirani wao na kusema maneno ya uwongo katika jina langu, maneno ambayo sikuwaamuru.+ “‘“Mimi Ndiye ninayejua, nami ni shahidi,”+ asema Yehova.’”
23 kwa maana wametenda kwa aibu katika Israeli,+ wakifanya uzinzi na wake za majirani wao na kusema maneno ya uwongo katika jina langu, maneno ambayo sikuwaamuru.+ “‘“Mimi Ndiye ninayejua, nami ni shahidi,”+ asema Yehova.’”