Yeremia 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana macho yangu yanaona kila kitu wanachofanya.* Hawajafichwa kutoka mbele zangu,Wala kosa lao halijafichwa kutoka mbele ya macho yangu. Yeremia 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Je, mtu yeyote anaweza kujificha mahali pa siri ambapo siwezi kumwona?”+ auliza Yehova. “Je, mimi sizijazi mbingu na dunia?”+ auliza Yehova.
17 Kwa maana macho yangu yanaona kila kitu wanachofanya.* Hawajafichwa kutoka mbele zangu,Wala kosa lao halijafichwa kutoka mbele ya macho yangu.
24 “Je, mtu yeyote anaweza kujificha mahali pa siri ambapo siwezi kumwona?”+ auliza Yehova. “Je, mimi sizijazi mbingu na dunia?”+ auliza Yehova.