Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baadaye malaika wa Yehova akamkuta kwenye chemchemi ya maji nyikani, chemchemi iliyo njiani kuelekea Shuri.+

  • Mwanzo 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo akaliitia jina la Yehova, aliyekuwa akizungumza naye: “Wewe ni Mungu anayeona,”+ kwa kuwa alisema: “Je, ni kweli kwamba nimemwona hapa yeye ambaye huniona?”

  • Methali 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Macho ya Yehova yako kila mahali,

      Yakiwaangalia waovu na wema.+

  • Amosi 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wakichimba chini kuingia Kaburini,*

      Mkono wangu utawatoa humo;

      Na wakipanda juu mbinguni,

      Nitawashusha chini kutoka huko.

  • Waebrania 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na hakuna kiumbe kilichofichwa machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pa yule ambaye tunapaswa kutoa hesabu kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki