Matendo 17:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa sababu ameweka siku ambayo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua kutoka kwa wafu.”+ Waroma 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hili litatendeka siku ambayo Mungu kupitia Kristo Yesu atahukumu mambo ya siri ya wanadamu,+ kulingana na habari njema ninayoitangaza. Waroma 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hivyo basi, kila mmoja wetu atatoa hesabu kwa Mungu kwa ajili yake mwenyewe.+
31 Kwa sababu ameweka siku ambayo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua kutoka kwa wafu.”+
16 Hili litatendeka siku ambayo Mungu kupitia Kristo Yesu atahukumu mambo ya siri ya wanadamu,+ kulingana na habari njema ninayoitangaza.