Yohana 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Baba hamhukumu mtu yeyote kamwe, bali amemkabidhi Mwana kazi yote ya kuhukumu,+ Matendo 10:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Pia, alituamuru tuwahubirie watu na kutoa ushahidi kamili+ kwamba yeye ndiye aliyeagizwa na Mungu kuwa mwamuzi wa walio hai na wafu.+ 1 Petro 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini watu hao watatoa hesabu kwa yule aliye tayari kuhukumu walio hai na waliokufa.+
42 Pia, alituamuru tuwahubirie watu na kutoa ushahidi kamili+ kwamba yeye ndiye aliyeagizwa na Mungu kuwa mwamuzi wa walio hai na wafu.+