9 Je, mnaweza kuiba,+ kuua, kufanya uzinzi, kuapa kwa uwongo,+ kumtolea dhabihu Baali,+ na kuifuata miungu mingine ambayo hamkuijua, 10 kisha mje na kusimama mbele zangu katika nyumba hii inayoitwa kwa jina langu na kusema, ‘Tutaokolewa,’ ilhali mnafanya mambo hayo yote yanayochukiza?