Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini wewe, Pashuri, na wote wanaoishi katika nyumba yako, mtapelekwa utekwani. Utapelekwa Babiloni na kufia huko, nawe utazikwa huko pamoja na marafiki wako wote, kwa sababu umewatabiria uwongo.’”+

  • Yeremia 29:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi kuhusu Ahabu mwana wa Kolaya na kuhusu Sedekia mwana wa Maaseya, wanaowatabiria uwongo katika jina langu:+ ‘Nitawatia mikononi mwa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni, naye atawaua mbele ya macho yenu.

  • Ezekieli 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ole wao manabii wapumbavu, wanaofuata roho yao wenyewe, ingawa hawajaona chochote!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki