6 Lakini wewe, Pashuri, na wote wanaoishi katika nyumba yako, mtapelekwa utekwani. Utapelekwa Babiloni na kufia huko, nawe utazikwa huko pamoja na marafiki wako wote, kwa sababu umewatabiria uwongo.’”+
21 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi kuhusu Ahabu mwana wa Kolaya na kuhusu Sedekia mwana wa Maaseya, wanaowatabiria uwongo katika jina langu:+ ‘Nitawatia mikononi mwa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni, naye atawaua mbele ya macho yenu.