Yeremia 23:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Nitawaadhibu manabii wa ndoto za uwongo,” asema Yehova, “wanaozisimulia na kuwapotosha watu wangu kwa sababu ya uwongo wao na kujigamba kwao.”+ “Lakini sikuwatuma wala kuwaamuru. Basi hawatawafaidi watu hawa hata kidogo,”+ asema Yehova.
32 “Nitawaadhibu manabii wa ndoto za uwongo,” asema Yehova, “wanaozisimulia na kuwapotosha watu wangu kwa sababu ya uwongo wao na kujigamba kwao.”+ “Lakini sikuwatuma wala kuwaamuru. Basi hawatawafaidi watu hawa hata kidogo,”+ asema Yehova.