-
Yeremia 23:32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
32 “Tazama, mimi niko dhidi ya manabii wa ndoto za uwongo,” asema Yehova, “wale wanaozisimulia na kuwafanya watu wangu kwenda huku na huku kwa sababu ya uwongo+ wao na kwa sababu ya kujisifu+ kwao.”
“Lakini mimi mwenyewe sikuwatuma wala kuwaamuru. Kwa hiyo hawatawafaidi watu hawa kwa vyovyote,”+ asema Yehova.
-