Yeremia 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Tazama, mnayategemea maneno ya uwongo—hakika haitakuwa na faida yoyote kamwe.+ Maombolezo 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Manabii wako mwenyewe wameona kwa ajili yako maono ya ubatili na vitu visivyotosheleza,+Nao hawakufunua kosa lako ili kuirudisha hali yako ya mateka,+Bali waliendelea kuona kwa ajili yako maono ya matangazo yasiyo na faida na yanayopotosha.+ Mathayo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+
14 Manabii wako mwenyewe wameona kwa ajili yako maono ya ubatili na vitu visivyotosheleza,+Nao hawakufunua kosa lako ili kuirudisha hali yako ya mateka,+Bali waliendelea kuona kwa ajili yako maono ya matangazo yasiyo na faida na yanayopotosha.+
14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+