Maombolezo 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Maono ambayo manabii wako waliona kwa ajili yako yalikuwa ya uwongo na yasiyofaa kitu,+Nao hawakufunua kosa lako ili kuzuia usipelekwe utekwani,+Bali waliendelea kukupa maono yenye ujumbe wa uwongo na unaopotosha.+ Maombolezo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:14 Mnara wa Mlinzi,9/1/1988, uku. 26
14 Maono ambayo manabii wako waliona kwa ajili yako yalikuwa ya uwongo na yasiyofaa kitu,+Nao hawakufunua kosa lako ili kuzuia usipelekwe utekwani,+Bali waliendelea kukupa maono yenye ujumbe wa uwongo na unaopotosha.+