Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Makuhani hawakuuliza, ‘Yehova yuko wapi?’+

      Wale wanaoshughulika na Sheria hawakunijua,

      Wachungaji waliniasi,+

      Manabii walitabiri kupitia Baali,+

      Nao wakawafuata wale ambao hawangewafaidi hata kidogo.

  • Yeremia 27:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Msiyasikilize maneno ya manabii wanaowaambia, ‘Hamtamtumikia mfalme wa Babiloni,’+ kwa sababu wanawatabiria uwongo.+

  • Ezekieli 13:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, tabiri dhidi ya manabii wa Israeli,+ nawe uwaambie hivi wale wanaotunga unabii wao wenyewe:*+ ‘Sikieni neno la Yehova. 3 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ole wao manabii wapumbavu, wanaofuata roho yao wenyewe, ingawa hawajaona chochote!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki