Yeremia 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatabiri uwongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kuzungumza nao.+ Wanawatabiria ninyi maono ya uwongo na uaguzi* usiofaa kitu na udanganyifu wa moyo wao wenyewe.+ Yeremia 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova wa majeshi anasema hivi: “Msiyasikilize maneno ya manabii wanaowatabiria ninyi.+ Wanawadanganya.* Wanasema maono ya moyo wao wenyewe,+Si kutoka katika kinywa cha Yehova.+
14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatabiri uwongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kuzungumza nao.+ Wanawatabiria ninyi maono ya uwongo na uaguzi* usiofaa kitu na udanganyifu wa moyo wao wenyewe.+
16 Yehova wa majeshi anasema hivi: “Msiyasikilize maneno ya manabii wanaowatabiria ninyi.+ Wanawadanganya.* Wanasema maono ya moyo wao wenyewe,+Si kutoka katika kinywa cha Yehova.+