25 “Nimewasikia manabii wanaotabiri uwongo katika jina langu wakisema, ‘Niliota ndoto! Niliota ndoto!’+26 Jambo hili litaendelea mpaka lini katika moyo wa manabii hao, kutabiri uwongo? Wao ni manabii wa udanganyifu wa moyo wao wenyewe.+
21 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi kuhusu Ahabu mwana wa Kolaya na kuhusu Sedekia mwana wa Maaseya, wanaowatabiria uwongo katika jina langu:+ ‘Nitawatia mikononi mwa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni, naye atawaua mbele ya macho yenu.