14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatabiri uwongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kuzungumza nao.+ Wanawatabiria ninyi maono ya uwongo na uaguzi* usiofaa kitu na udanganyifu wa moyo wao wenyewe.+
8 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Msiwaruhusu manabii wenu na waaguzi* wenu walio miongoni mwenu wawadanganye,+ nanyi msisikilize ndoto wanazoota.