Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “Nitawaadhibu manabii wa ndoto za uwongo,” asema Yehova, “wanaozisimulia na kuwapotosha watu wangu kwa sababu ya uwongo wao na kujigamba kwao.”+

      “Lakini sikuwatuma wala kuwaamuru. Basi hawatawafaidi watu hawa hata kidogo,”+ asema Yehova.

  • Yeremia 27:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘“‘Kwa hiyo, msiwasikilize manabii wenu, waaguzi* wenu, waota-ndoto wenu, wachawi wenu, na walozi wenu, wanaowaambia: “Hamtamtumikia mfalme wa Babiloni.”

  • Mika 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yehova anasema hivi kuhusu manabii wanaowapotosha watu wake,+

      Wanaotangaza ‘Amani!’+ huku wakitafuna* kwa meno yao+

      Lakini wanaotangaza* vita dhidi ya yule asiyeweka kitu vinywani mwao:

  • Sefania 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Manabii wake ni wakaidi, wanaume wenye hila.+

      Makuhani wake wanachafua kilicho kitakatifu;+

      Wanaitendea sheria kikatili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki