Yeremia 23:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Nitawaadhibu manabii wa ndoto za uwongo,” asema Yehova, “wanaozisimulia na kuwapotosha watu wangu kwa sababu ya uwongo wao na kujigamba kwao.”+ “Lakini sikuwatuma wala kuwaamuru. Basi hawatawafaidi watu hawa hata kidogo,”+ asema Yehova. Yeremia 27:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘“‘Kwa hiyo, msiwasikilize manabii wenu, waaguzi* wenu, waota-ndoto wenu, wachawi wenu, na walozi wenu, wanaowaambia: “Hamtamtumikia mfalme wa Babiloni.” Mika 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova anasema hivi kuhusu manabii wanaowapotosha watu wake,+Wanaotangaza ‘Amani!’+ huku wakitafuna* kwa meno yao+Lakini wanaotangaza* vita dhidi ya yule asiyeweka kitu vinywani mwao: Sefania 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Manabii wake ni wakaidi, wanaume wenye hila.+ Makuhani wake wanachafua kilicho kitakatifu;+Wanaitendea sheria kikatili.+
32 “Nitawaadhibu manabii wa ndoto za uwongo,” asema Yehova, “wanaozisimulia na kuwapotosha watu wangu kwa sababu ya uwongo wao na kujigamba kwao.”+ “Lakini sikuwatuma wala kuwaamuru. Basi hawatawafaidi watu hawa hata kidogo,”+ asema Yehova.
9 “‘“‘Kwa hiyo, msiwasikilize manabii wenu, waaguzi* wenu, waota-ndoto wenu, wachawi wenu, na walozi wenu, wanaowaambia: “Hamtamtumikia mfalme wa Babiloni.”
5 Yehova anasema hivi kuhusu manabii wanaowapotosha watu wake,+Wanaotangaza ‘Amani!’+ huku wakitafuna* kwa meno yao+Lakini wanaotangaza* vita dhidi ya yule asiyeweka kitu vinywani mwao:
4 Manabii wake ni wakaidi, wanaume wenye hila.+ Makuhani wake wanachafua kilicho kitakatifu;+Wanaitendea sheria kikatili.+