Yeremia 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Lakini mnayatumaini maneno ya udanganyifu+—hayatawaletea faida yoyote. Maombolezo 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Maono ambayo manabii wako waliona kwa ajili yako yalikuwa ya uwongo na yasiyofaa kitu,+Nao hawakufunua kosa lako ili kuzuia usipelekwe utekwani,+Bali waliendelea kukupa maono yenye ujumbe wa uwongo na unaopotosha.+
14 Maono ambayo manabii wako waliona kwa ajili yako yalikuwa ya uwongo na yasiyofaa kitu,+Nao hawakufunua kosa lako ili kuzuia usipelekwe utekwani,+Bali waliendelea kukupa maono yenye ujumbe wa uwongo na unaopotosha.+