Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’

      Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+

      Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+

  • Yeremia 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Manabii wanatabiri uwongo,+

      Nao makuhani wanakandamiza kwa mamlaka yao wenyewe.

      Na watu wangu wanapenda mambo yawe hivyo.+

      Lakini mtafanya nini mwisho ukifika?”

  • Yeremia 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatabiri uwongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kuzungumza nao.+ Wanawatabiria ninyi maono ya uwongo na uaguzi* usiofaa kitu na udanganyifu wa moyo wao wenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki