Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hata hivyo, Asa akamkasirikia mwonaji huyo na kumtia gerezani,* alikasirishwa sana naye kwa sababu ya jambo hilo. Wakati huohuo, Asa akaanza kuwatesa watu wengine.

  • 2 Mambo ya Nyakati 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Bado kuna mtu mmoja+ ambaye tunaweza kumwomba ushauri kutoka kwa Yehova; lakini ninamchukia, kwa maana hatabiri kamwe mambo mema kunihusu, anatabiri mabaya sikuzote.+ Anaitwa Mikaya mwana wa Imla.” Hata hivyo, Yehoshafati akasema: “Mfalme, usiseme jambo kama hilo.”

  • Yeremia 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa hiyo Yehova anasema hivi dhidi ya watu wa Anathothi+ wanaotaka kukuua* na wanaosema: “Usitabiri katika jina la Yehova,+ la sivyo tutakuua kwa mikono yetu”;

  • Yeremia 26:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Makuhani na manabii wakawaambia hivi wakuu na watu wote: “Mtu huyu anastahili hukumu ya kifo,+ kwa sababu ametabiri dhidi ya jiji hili kama mlivyosikia kwa masikio yenu wenyewe.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki