Yeremia 18:19, 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nitegee sikio, Ee Yehova,Nawe usikilize wanachosema wapinzani wangu. 20 Je, wema unapaswa kulipwa kwa uovu? Kwa maana wameuchimbia shimo uhai wangu.*+ Kumbuka jinsi nilivyosimama mbele zako ili kusema mema kuwahusu,Ili kuwaondolea ghadhabu yako.
19 Nitegee sikio, Ee Yehova,Nawe usikilize wanachosema wapinzani wangu. 20 Je, wema unapaswa kulipwa kwa uovu? Kwa maana wameuchimbia shimo uhai wangu.*+ Kumbuka jinsi nilivyosimama mbele zako ili kusema mema kuwahusu,Ili kuwaondolea ghadhabu yako.