Isaya 30:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’ Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+ Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+ Amosi 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ‘Lakini uliendelea kuwapa Wanadhiri divai wanywe,+Nawe ukawaamuru hivi manabii: “Hampaswi kutoa unabii.”+ Amosi 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi sasa sikia neno la Yehova: ‘Wewe unasema: “Usitoe unabii dhidi ya Israeli,+ na usihubiri+ dhidi ya nyumba ya Isaka.”
10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’ Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+ Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+
12 ‘Lakini uliendelea kuwapa Wanadhiri divai wanywe,+Nawe ukawaamuru hivi manabii: “Hampaswi kutoa unabii.”+
16 Basi sasa sikia neno la Yehova: ‘Wewe unasema: “Usitoe unabii dhidi ya Israeli,+ na usihubiri+ dhidi ya nyumba ya Isaka.”