Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’

      Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+

      Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+

      11 Tokeni kwenye njia; ondokeni kwenye kijia.

      Acheni kumweka Mtakatifu wa Israeli mbele yetu.’”+

  • Amosi 7:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha Amazia akamwambia Amosi: “Ee mwonaji, nenda, kimbia uende katika nchi ya Yuda, jitafutie mkate wako* huko, nawe unaweza kutoa unabii wako huko.+ 13 Lakini usiendelee kutoa unabii hapa Betheli,+ kwa maana ni mahali patakatifu pa mfalme+ na nyumba ya ufalme.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki