12 Kisha Amazia akamwambia Amosi: “Ee mwonaji, nenda, kimbia uende katika nchi ya Yuda, jitafutie mkate wako* huko, nawe unaweza kutoa unabii wako huko.+13 Lakini usiendelee kutoa unabii hapa Betheli,+ kwa maana ni mahali patakatifu pa mfalme+ na nyumba ya ufalme.”