Amosi 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini usiendelee kutoa unabii hapa Betheli,+ kwa maana ni mahali patakatifu pa mfalme+ na nyumba ya ufalme.” Amosi 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi sasa sikia neno la Yehova: ‘Wewe unasema: “Usitoe unabii dhidi ya Israeli,+ na usihubiri+ dhidi ya nyumba ya Isaka.”
13 Lakini usiendelee kutoa unabii hapa Betheli,+ kwa maana ni mahali patakatifu pa mfalme+ na nyumba ya ufalme.”
16 Basi sasa sikia neno la Yehova: ‘Wewe unasema: “Usitoe unabii dhidi ya Israeli,+ na usihubiri+ dhidi ya nyumba ya Isaka.”