Yeremia 11:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo Yehova anasema hivi dhidi ya watu wa Anathothi+ wanaotaka kukuua* na wanaosema: “Usitabiri katika jina la Yehova,+ la sivyo tutakuua kwa mikono yetu”; Amosi 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini usiendelee kutoa unabii hapa Betheli,+ kwa maana ni mahali patakatifu pa mfalme+ na nyumba ya ufalme.”
21 Kwa hiyo Yehova anasema hivi dhidi ya watu wa Anathothi+ wanaotaka kukuua* na wanaosema: “Usitabiri katika jina la Yehova,+ la sivyo tutakuua kwa mikono yetu”;
13 Lakini usiendelee kutoa unabii hapa Betheli,+ kwa maana ni mahali patakatifu pa mfalme+ na nyumba ya ufalme.”