1 Wafalme 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na sasa nikusanyie Waisraeli wote kwenye Mlima Karmeli,+ pamoja na manabii 450 wa Baali na manabii 400 wa mti mtakatifu,*+ wanaokula kwenye meza ya Yezebeli.” Yeremia 23:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Na kwa manabii wa Samaria+ nimeona jambo linalochukiza sana. Unabii wao unachochewa na Baali,Nao wanawapotosha watu wangu Waisraeli.
19 Na sasa nikusanyie Waisraeli wote kwenye Mlima Karmeli,+ pamoja na manabii 450 wa Baali na manabii 400 wa mti mtakatifu,*+ wanaokula kwenye meza ya Yezebeli.”
13 “Na kwa manabii wa Samaria+ nimeona jambo linalochukiza sana. Unabii wao unachochewa na Baali,Nao wanawapotosha watu wangu Waisraeli.