Yoshua 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Alameleki, Amadi, na Mishali. Nao ulifika upande wa magharibi hadi Karmeli+ na kuelekea Shihor-libnathi, Yoshua 19:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la Asheri kulingana na koo zao.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa majiji na vijiji vyake.
26 Alameleki, Amadi, na Mishali. Nao ulifika upande wa magharibi hadi Karmeli+ na kuelekea Shihor-libnathi,
31 Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la Asheri kulingana na koo zao.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa majiji na vijiji vyake.