Yeremia 23:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Na katika manabii wa Samaria+ mimi nimeona jambo lisilofaa. Wametenda kama manabii waliochochewa na Baali,+ nao wanaendelea kuwafanya watu wangu, Israeli, waende huku na huku.+
13 “Na katika manabii wa Samaria+ mimi nimeona jambo lisilofaa. Wametenda kama manabii waliochochewa na Baali,+ nao wanaendelea kuwafanya watu wangu, Israeli, waende huku na huku.+