1 Samweli 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa wana wa Eli walikuwa watu waovu;+ hawakumheshimu Yehova. Maombolezo 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hilo lilitokea kwa sababu ya dhambi za manabii wake, makosa ya makuhani wake,+Waliomwaga damu ya waadilifu waliokuwa katika jiji hilo.+
13 Hilo lilitokea kwa sababu ya dhambi za manabii wake, makosa ya makuhani wake,+Waliomwaga damu ya waadilifu waliokuwa katika jiji hilo.+