Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Manabii wanatabiri uwongo,+

      Nao makuhani wanakandamiza kwa mamlaka yao wenyewe.

      Na watu wangu wanapenda mambo yawe hivyo.+

      Lakini mtafanya nini mwisho ukifika?”

  • Yeremia 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatabiri uwongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kuzungumza nao.+ Wanawatabiria ninyi maono ya uwongo na uaguzi* usiofaa kitu na udanganyifu wa moyo wao wenyewe.+

  • Mika 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Viongozi* wake huhukumu ili wapate rushwa,+

      Makuhani wake hufundisha ili wapate malipo,+

      Na manabii wake hufanya uaguzi* ili wapate pesa.*+

      Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema:

      “Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+

      Hakuna msiba utakaotupata.”+

  • Sefania 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Manabii wake ni wakaidi, wanaume wenye hila.+

      Makuhani wake wanachafua kilicho kitakatifu;+

      Wanaitendea sheria kikatili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki