10 Walinzi wake ni vipofu,+ hakuna hata mmoja ambaye ameona.+
Wote ni mbwa walio bubu, wasioweza kubweka.+
Wanahemahema na kulala chini; wanapenda kulala.
11 Wao ni mbwa walafi;
Hawashibi kamwe.
Wao ni wachungaji wasio na uelewaji.+
Wote wamefuata njia yao wenyewe;
Kila mmoja wao anatafuta faida isiyo ya haki na kusema: