Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 6:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Kwa maana kuanzia mdogo zaidi mpaka mkubwa zaidi, kila mmoja anajipatia faida isiyo ya haki;+

      Kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa ulaghai.+

      14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu jeraha* la watu wangu, wakisema,

      ‘Kuna amani! Kuna amani!’

      Wakati hakuna amani.+

  • Ezekieli 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Manabii wa Israeli hawapo tena, wale wanaowatabiria watu wa Yerusalemu na kuona maono ya amani kwa ajili yao, wakati hakuna amani,”’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki