13 “Kwa maana kuanzia mdogo zaidi mpaka mkubwa zaidi, kila mmoja anajipatia faida isiyo ya haki;+
Kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa ulaghai.+
14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu jeraha la watu wangu, wakisema,
‘Kuna amani! Kuna amani!’