11 Wao ni mbwa wenye nguvu katika tamaa ya nafsi;+ hawakujua kushiba hata kidogo.+ Wao pia ni wachungaji ambao hawakujua jinsi ya kuelewa.+ Wote wameiendea njia yao wenyewe, kila mmoja kwa mapato yake yasiyo ya haki kutoka katika mpaka wake mwenyewe:+