Isaya 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ufanye moyo wa watu hawa uwe mgumu,+Yafanye masikio yao yawe mazito,+Na uyafunge kabisa macho yao,Ili wasione kwa macho yaoNa wasisikie kwa masikio yao,Ili moyo wao usieleweNao wasigeuke na kuponywa.” Isaya 29:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Yehova amewamwagia roho ya usingizi mzito;+Ameyafunga macho yenu, enyi manabii,+Naye amefunika vichwa vyenu, enyi waonaji.+
10 Ufanye moyo wa watu hawa uwe mgumu,+Yafanye masikio yao yawe mazito,+Na uyafunge kabisa macho yao,Ili wasione kwa macho yaoNa wasisikie kwa masikio yao,Ili moyo wao usieleweNao wasigeuke na kuponywa.”
10 Kwa maana Yehova amewamwagia roho ya usingizi mzito;+Ameyafunga macho yenu, enyi manabii,+Naye amefunika vichwa vyenu, enyi waonaji.+