Isaya 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wale wanaowaongoza watu hawa ndio wanaowapoteza;+ na wale kati yao wanaoongozwa, ndio wanaovurugwa.+ Malaki 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Lakini ninyi—mmegeuka kando mkaiacha njia.+ Mmesababisha wengi kujikwaa katika sheria.+ Mmeliharibu agano la Lawi,”+ Yehova wa majeshi amesema. Mathayo 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Ole wenu ninyi, viongozi vipofu,+ mnaosema, ‘Mtu yeyote akiapa kwa hekalu, si kitu; lakini mtu yeyote akiapa kwa dhahabu ya hekalu, atakuwa na wajibu.’+ Luka 6:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Ndipo akawaambia pia mfano: “Je, kipofu anaweza kumwongoza kipofu? Je, wote wawili hawatatumbukia ndani ya shimo?+ Yohana 9:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Wale wa Mafarisayo waliokuwa pamoja naye wakasikia mambo hayo, nao wakamwambia: “Je, sisi pia ni vipofu?”+
16 Na wale wanaowaongoza watu hawa ndio wanaowapoteza;+ na wale kati yao wanaoongozwa, ndio wanaovurugwa.+
8 “Lakini ninyi—mmegeuka kando mkaiacha njia.+ Mmesababisha wengi kujikwaa katika sheria.+ Mmeliharibu agano la Lawi,”+ Yehova wa majeshi amesema.
16 “Ole wenu ninyi, viongozi vipofu,+ mnaosema, ‘Mtu yeyote akiapa kwa hekalu, si kitu; lakini mtu yeyote akiapa kwa dhahabu ya hekalu, atakuwa na wajibu.’+
39 Ndipo akawaambia pia mfano: “Je, kipofu anaweza kumwongoza kipofu? Je, wote wawili hawatatumbukia ndani ya shimo?+
40 Wale wa Mafarisayo waliokuwa pamoja naye wakasikia mambo hayo, nao wakamwambia: “Je, sisi pia ni vipofu?”+