Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wale wanaowaongoza watu hawa ndio wanaowapoteza;+ na wale kati yao wanaoongozwa, ndio wanaovurugwa.+

  • Malaki 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Lakini ninyi—mmegeuka kando mkaiacha njia.+ Mmesababisha wengi kujikwaa katika sheria.+ Mmeliharibu agano la Lawi,”+ Yehova wa majeshi amesema.

  • Mathayo 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Ole wenu ninyi, viongozi vipofu,+ mnaosema, ‘Mtu yeyote akiapa kwa hekalu, si kitu; lakini mtu yeyote akiapa kwa dhahabu ya hekalu, atakuwa na wajibu.’+

  • Luka 6:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Ndipo akawaambia pia mfano: “Je, kipofu anaweza kumwongoza kipofu? Je, wote wawili hawatatumbukia ndani ya shimo?+

  • Yohana 9:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Wale wa Mafarisayo waliokuwa pamoja naye wakasikia mambo hayo, nao wakamwambia: “Je, sisi pia ni vipofu?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki