Yeremia 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana watu wangu wamenisahau+ kwa kuwa wanakifukizia moshi wa dhabihu kitu cha ubatili,+ na kwa kuwa wanawakwaza watu katika njia zao,+ mapito ya zamani za kale,+ kutembea katika barabara, njia ambayo haijatengenezwa ikiwa na mafungu, Luka 11:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 “Ole wenu ninyi wenye ujuzi mwingi wa Sheria, kwa sababu mliuondoa ufunguo wa ujuzi;+ ninyi wenyewe hamkuingia, na wale wanaoingia mliwazuia!”+
15 Kwa maana watu wangu wamenisahau+ kwa kuwa wanakifukizia moshi wa dhabihu kitu cha ubatili,+ na kwa kuwa wanawakwaza watu katika njia zao,+ mapito ya zamani za kale,+ kutembea katika barabara, njia ambayo haijatengenezwa ikiwa na mafungu,
52 “Ole wenu ninyi wenye ujuzi mwingi wa Sheria, kwa sababu mliuondoa ufunguo wa ujuzi;+ ninyi wenyewe hamkuingia, na wale wanaoingia mliwazuia!”+