Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Wao wamenichochea niwe na wivu kwa kile ambacho si mungu;+

      Wameniudhi kwa sanamu zao za ubatili;+

      Na mimi, nitawachochea wawe na wivu kwa kile ambacho si kikundi cha watu;+

      Kwa taifa jinga nitawatia uchungu.+

  • Isaya 41:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Tazama! Wote ni kitu ambacho hakipo. Kazi zao si kitu. Sanamu zao za kuyeyushwa ni upepo na ubatili.+

  • Yeremia 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Hizo ni ubatili, kazi ya mzaha.+ Zitaangamia siku zitakapokaziwa fikira.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki