Kumbukumbu la Torati 32:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wao wamenichochea niwe na wivu kwa kile ambacho si mungu;+Wameniudhi kwa sanamu zao za ubatili;+Na mimi, nitawachochea wawe na wivu kwa kile ambacho si kikundi cha watu;+Kwa taifa jinga nitawatia uchungu.+ Isaya 41:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Tazama! Wote ni kitu ambacho hakipo. Kazi zao si kitu. Sanamu zao za kuyeyushwa ni upepo na ubatili.+ Yeremia 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hizo ni ubatili, kazi ya mzaha.+ Zitaangamia siku zitakapokaziwa fikira.+
21 Wao wamenichochea niwe na wivu kwa kile ambacho si mungu;+Wameniudhi kwa sanamu zao za ubatili;+Na mimi, nitawachochea wawe na wivu kwa kile ambacho si kikundi cha watu;+Kwa taifa jinga nitawatia uchungu.+
29 Tazama! Wote ni kitu ambacho hakipo. Kazi zao si kitu. Sanamu zao za kuyeyushwa ni upepo na ubatili.+