13 “Ole wenu ninyi, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa sababu mnawafungia+ watu ufalme wa mbinguni; kwa maana ninyi+ wenyewe hamwingii, wala hamwaruhusu wale wanaoenda huko waingie.
16 wanapojaribu kutuzuia+ tusiseme na watu wa mataifa ili hawa waokolewe,+ matokeo yakiwa kwamba sikuzote wao hukijaza kabisa kipimo+ cha dhambi zao. Lakini ghadhabu yake mwishowe imekuja juu yao.+