Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ubaya wako unapaswa kukurekebisha,+ na matendo yako mwenyewe ya kukosa uaminifu yanapaswa kukukaripia.+ Jua, basi, na kuona kwamba kumwacha Yehova Mungu wako ni jambo baya na lenye uchungu,+ nawe hujaingiwa na hofu yangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi.

  • Yeremia 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sauti imesikika katika njia zilizokanyagwa, kulia, kusihi kwa wana wa Israeli. Kwa maana wameipotosha njia yao;+ wamemsahau Yehova Mungu wao.+

  • Yeremia 13:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Hii ndiyo kura yako, fungu lako lililopimwa kutoka kwangu,”+ asema Yehova, “kwa sababu umenisahau+ nawe unaendelea kuutegemea uwongo.+

  • Yeremia 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ee Yehova nguvu zangu na ngome yangu, na kimbilio langu katika siku ya taabu,+ kwako wewe mataifa yote yatakuja kutoka miisho ya dunia,+ nao watasema: “Kwa kweli mababu zetu walikuja kumiliki uwongo mtupu,+ ubatili na vitu ambavyo ndani yake havina faida yoyote.”+

  • Yeremia 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,+ wale wote wanaokuacha watapatwa na aibu.+ Wale wanaoniasi+ wataandikwa katika mavumbi, kwa sababu wameiacha chemchemi ya maji yaliyo hai, Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki