Zaburi 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeye atawanyeshea waovu mitego, moto na kiberiti+Na upepo wenye kuunguza, vikiwa fungu la kikombe chao.+ Mathayo 24:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 naye atamwadhibu kwa ukali+ mkubwa zaidi na kumgawia sehemu yake pamoja na wanafiki. Huko ndiko atalia na kusaga meno.+
6 Yeye atawanyeshea waovu mitego, moto na kiberiti+Na upepo wenye kuunguza, vikiwa fungu la kikombe chao.+
51 naye atamwadhibu kwa ukali+ mkubwa zaidi na kumgawia sehemu yake pamoja na wanafiki. Huko ndiko atalia na kusaga meno.+