10 Kwa maana umemsahau+ Mungu wa wokovu wako;+ nawe hukumkumbuka Mwamba+ wa ngome yako. Ndiyo sababu unapanda mashamba makubwa yenye kupendeza, nawe unayaweka chipukizi la mgeni.
35 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu umenisahau+ nawe ulinitupa nyuma ya mgongo wako,+ basi wewe mwenyewe pia chukua mwenendo wako mpotovu na matendo yako ya ukahaba.’ ”
14 Naye Israeli akaanza kumsahau Mtengenezaji wake+ na kujenga mahekalu;+ naye Yuda akazidisha majiji yenye ngome.+ Nami nitapeleka moto katika majiji yake nao utateketeza minara ya makao ya kila mmoja.”+