Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia, Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka.

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye akaiteketeza nyumba ya Mungu wa kweli+ na kuubomoa ukuta+ wa Yerusalemu; na minara yake yote ya makao wakaiteketeza kwa moto na pia vyombo vyake vyote vyenye kutamanika,+ ili kufanya uharibifu.+

  • Yeremia 17:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “‘“Lakini ikiwa hamtanitii kwa kuitakasa siku ya sabato na kutobeba mzigo,+ lakini mwingie nao kupitia malango ya Yerusalemu katika siku ya sabato, mimi pia nitawasha moto wa kuteketeza katika malango yake,+ nao hakika utaiteketeza minara ya makao ya Yerusalemu+ nao hautazimwa.”’”+

  • Yeremia 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 wakati majeshi ya mfalme wa Babiloni yalipokuwa yakipiga vita juu ya Yerusalemu na juu ya majiji yote ya Yuda ambayo yalikuwa yamebaki,+ juu ya Lakishi+ na juu ya Azeka;+ kwa maana hayo, majiji yenye ngome,+ ndiyo yaliyobaki kati ya majiji ya Yuda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki