2 Wafalme 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Baada ya hapo Rabshake+ akarudi na kumkuta mfalme wa Ashuru akipigana na Libna;+ kwa maana alikuwa amesikia kwamba ameondoka Lakishi.+ Mika 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Funga gari kwenye kikundi cha farasi, Ee mwanamke mkaaji wa Lakishi.+ Yeye alikuwa mwanzo wa dhambi kwa binti Sayuni,+ maana ndani yako maasi ya Israeli yamepatikana.+
8 Baada ya hapo Rabshake+ akarudi na kumkuta mfalme wa Ashuru akipigana na Libna;+ kwa maana alikuwa amesikia kwamba ameondoka Lakishi.+
13 Funga gari kwenye kikundi cha farasi, Ee mwanamke mkaaji wa Lakishi.+ Yeye alikuwa mwanzo wa dhambi kwa binti Sayuni,+ maana ndani yako maasi ya Israeli yamepatikana.+