Yeremia 21:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mimi pia nitawatoza ninyi+ hesabu kulingana na matunda ya matendo yenu,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawasha moto katika msitu wake,+ na hakika huo utateketeza vitu vyote vinavyomzunguka.’”+ Maombolezo 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova ametimiza ghadhabu yake.+ Amemwaga hasira yake inayowaka.+Naye anawasha moto katika Sayuni, unaoteketeza misingi yake.+ Amosi 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nitapeleka moto+ juu ya nyumba ya Hazaeli,+ nao utaiteketeza minara ya makao ya Ben-hadadi.+
14 Mimi pia nitawatoza ninyi+ hesabu kulingana na matunda ya matendo yenu,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawasha moto katika msitu wake,+ na hakika huo utateketeza vitu vyote vinavyomzunguka.’”+
11 Yehova ametimiza ghadhabu yake.+ Amemwaga hasira yake inayowaka.+Naye anawasha moto katika Sayuni, unaoteketeza misingi yake.+