Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Yehova ataituma laana+ juu yako, kuvurugika+ na kemeo+ katika kila hatua unayochukua unayojaribu kutimiza, mpaka uwe umeharibiwa na kuangamizwa haraka, kwa sababu ya ubaya wa mazoea yako kwa kuwa umeniacha mimi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+

  • Yeremia 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nimejawa na ghadhabu ya Yehova. Nimechoka kujizuia.”+

      “Imwage wakati uleule juu ya mtoto aliye barabarani+ na juu ya kikundi cha vijana walio rafiki za karibu; kwa maana wao pia watakamatwa, mwanamume pamoja na mke wake, mzee pamoja na mtu mwenye siku nyingi.+

  • Yeremia 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nitafanya Yerusalemu kuwa rundo la mawe,+ mapango ya mbwa-mwitu;+ na majiji ya Yuda nitayafanya kuwa mahame yenye ukiwa, bila mkaaji.+

  • Ezekieli 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa hiyo nitamwaga shutuma+ zangu juu yao. Nitawaangamiza wao kwa moto wa ghadhabu yangu.+ Nitaileta njia yao juu ya kichwa chao wenyewe,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”

  • Danieli 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye akayatimiza maneno yake ambayo alikuwa amesema juu yetu+ na juu ya waamuzi wetu waliotuhukumu,+ kwa kuleta juu yetu msiba mkubwa, kwa maana yaliyofanywa Yerusalemu hayajapata kufanywa chini ya mbingu zote.+

  • Zekaria 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hata hivyo, je, maneno yangu na masharti yangu ambayo niliwaamuru watumishi wangu manabii,+ hayakuwapata baba zenu?’+ Basi wakarudi na kusema: ‘Kulingana na yale ambayo Yehova wa majeshi alikusudia akilini kututendea,+ kulingana na njia zetu na kulingana na matendo yetu, ndivyo alivyotutendea sisi.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki