Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 39:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Umemrekebisha mtu kwa makaripio dhidi ya kosa,+

      Nawe unakula vitu vyake vyenye kutamanika kama nondo.+

      Kwa kweli kila mtu wa udongo ni pumzi tu.+ Sela.

  • Zaburi 80:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Huo umeteketezwa kwa moto, umekatwa.+

      Wanaangamia kutokana na kemeo la uso wako.+

  • Isaya 30:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Watu elfu moja watatetemeka kwa sababu ya kemeo la mmoja;+ mtakimbia kwa sababu ya kemeo la watano mpaka mtakapokuwa mmebaki kama mlingoti juu ya kilele cha mlima na kama ishara juu ya kilima.+

  • Isaya 51:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Wana wako mwenyewe wamezimia.+ Wamelala chini kichwani pa barabara zote kama kondoo-mwitu katika wavu,+ kama wale ambao wamejaa ghadhabu ya Yehova,+ kemeo la Mungu wako.”+

  • Ezekieli 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nawe utakuwa shutuma+ na kitu cha kutukanwa,+ mfano wa kuonya+ na tisho kwa mataifa yanayokuzunguka pande zote, nitakapotenda ndani yako matendo ya hukumu katika hasira na katika ghadhabu na katika makaripio ya ghadhabu.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki