Isaya 29:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kawieni, na mshangae;+ jitieni upofu, na mtiwe upofu.+ Wamelewa, lakini si kwa divai;+ wametembea kwa kuyumba-yumba, lakini si kwa sababu ya kileo.+ Isaya 49:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nami nitawafanya wale wanaokutendea vibaya waile nyama yao; nao watalewa kwa damu yao kana kwamba ni kwa divai tamu. Na wanadamu wote watajua kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako na Mkombozi+ wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+
9 Kawieni, na mshangae;+ jitieni upofu, na mtiwe upofu.+ Wamelewa, lakini si kwa divai;+ wametembea kwa kuyumba-yumba, lakini si kwa sababu ya kileo.+
26 Nami nitawafanya wale wanaokutendea vibaya waile nyama yao; nao watalewa kwa damu yao kana kwamba ni kwa divai tamu. Na wanadamu wote watajua kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako na Mkombozi+ wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+