Zaburi 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova anajulikana kwa hukumu ambayo ametekeleza.+ Mwovu amenaswa na utendaji wa mikono yake mwenyewe.+ Higayoni. Sela. Zaburi 58:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wanadamu watasema:+ “Kwa kweli kuna matunda kwa ajili ya mwadilifu.+Kwa kweli kuna Mungu ambaye anahukumu duniani.”+ Ezekieli 39:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “ ‘Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wao, nitakapowapeleka uhamishoni kwa mataifa na kwa kweli niwarudishe pamoja kwenye nchi yao,+ hivi kwamba sitamwacha yeyote kati yao abaki huko.+
16 Yehova anajulikana kwa hukumu ambayo ametekeleza.+ Mwovu amenaswa na utendaji wa mikono yake mwenyewe.+ Higayoni. Sela.
11 Nao wanadamu watasema:+ “Kwa kweli kuna matunda kwa ajili ya mwadilifu.+Kwa kweli kuna Mungu ambaye anahukumu duniani.”+
28 “ ‘Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wao, nitakapowapeleka uhamishoni kwa mataifa na kwa kweli niwarudishe pamoja kwenye nchi yao,+ hivi kwamba sitamwacha yeyote kati yao abaki huko.+