Zaburi 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova anajulikana kwa hukumu ambayo ametekeleza.+ Mwovu amenaswa na utendaji wa mikono yake mwenyewe.+ Higayoni. Sela. Zaburi 98:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mbele za Yehova, kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu nchi yenye kuzaa kwa uadilifu+Na vikundi vya watu kwa unyoofu.+ Waebrania 10:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa maana tunamjua yeye aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa”;+ na tena: “Yehova atawahukumu watu wake.”+
16 Yehova anajulikana kwa hukumu ambayo ametekeleza.+ Mwovu amenaswa na utendaji wa mikono yake mwenyewe.+ Higayoni. Sela.
9 Mbele za Yehova, kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu nchi yenye kuzaa kwa uadilifu+Na vikundi vya watu kwa unyoofu.+
30 Kwa maana tunamjua yeye aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa”;+ na tena: “Yehova atawahukumu watu wake.”+