19 Nchi imewashwa moto katika ghadhabu ya Yehova wa majeshi, na watu watakuwa kama chakula kwa ajili ya moto.+ Hakuna yeyote atakayemwonyesha huruma hata ndugu yake.+
10 yeye pia atakunywa kutokana na divai ya hasira ya Mungu inayomwagwa bila kuchanganywa na kitu ndani ya kikombe cha ghadhabu yake,+ naye atateswa+ kwa moto na kiberiti+ machoni pa malaika watakatifu na machoni pa Mwana-Kondoo.