Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nami nitayatia majiji yenu kwenye upanga+ na kufanya ukiwa patakatifu penu,+ wala sitanusa harufu zenu za kutuliza.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 leo nachukua mbingu na dunia ili ziwe mashahidi dhidi yenu,+ ya kwamba hakika mtaangamia haraka kutoka katika nchi ambayo mnavuka Yordani ili mwimiliki. Hamtarefusha siku zenu juu yake, kwa sababu hakika mtaangamizwa.+

  • Yoshua 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa sababu ya kuvunja agano la Yehova Mungu wenu ambalo aliwaamuru ninyi, na kwa sababu mmeenda na kuitumikia miungu mingine na kuiinamia.+ Na hasira ya Yehova hakika itawaka juu yenu,+ nanyi hakika mtaangamia upesi kutoka katika hii nchi nzuri ambayo amewapa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki